Inawezekana
kama mitandao ya kijamii ukiitumia vizuri inaweza kukupatia faida kubwa
kuna watu kadhaa ambao kupitia mitandao ya kijamii wanendesha maisha
yao vizuri miongoni mwao kuna jamaa mmoja anajiita dalali Mkombozi
aliwahi ku-amplify anavyoitumia Instagram kuendesha maisha yake.
Roma
Mkatoliki leo ametoa idadi ya pesa alizowahi kuingiza kupitia wimbo
wake wa 2030 ambao alianza kwa kuuza kupitia mtandao wa Whatsapp
>>’2030...