Saturday, 5 April 2014

Angalia hapa official video ya One campaign – Cocoa na Chocolate

Ile video waliyorekodi wasanii 19 kutoka bara la Africa kwenye kampeni ya kuhamasisha kilimo imetoka. Angalia jinsi wasanii wengi kutoka nchi za Africa walivyojumuika pamoja kutengeneza video hii wakiwemo A.Y na Diamon...

Tuesday, 1 April 2014

CHEKI VIDEO MPYA YA SHISHI (SHILOLE) BABY CHUNA BUZI

Mbali na kuwa ni video mpya lakini ni video ambayo inaingia kwenye headline hasa hapa zilipofanywa video mbili ambazo zote zimetayarishwa na Director mmoja,Chuna Buzi ndiyo jina la wimbo huu ambao mbali na kuwa kwenye wimbo siku chache zilizopita Shilole ali-amplify taarifa za kufungua mgahawa wenye jina hilo. Audio imefanywa kwa Mazuu pale Mazuu Records na video imefanywa na Nisher ambaye ndiye alie Direct video yake ya wimbo wake uliopita...

Tazama vipande vya video waliyoenda kufanya wasanii mbalimbali wa Africa akiwemo Diamond na Ay.

Hivi ni vipande vya video ya wimbo ambao umefanywa na wasanii 19 kutoka Africa ambao walikutana South Africa kwa ajili ya kampeni ya Do Agric ambao ni mradi kutoka One Campaign wimbo huo unaitwa  Cocoa na Chocolate,miongoni mwa Madj walienda kushuhudia uzinduzi huo ni pamoja Dj Fetty kutoka Clouds Fm. Kampeni hiyo ni kwa ajili ya kuhamasisha kilimo kwa vijana na wasanii wamekutana Lagos nchini Nigeria kwa ajili ya uzinduzi wa video hiyo...

Watu 6 wamefariki kwenye shambulio lingine la kigaidi ndani ya Kenya

Watu sita wamepoteza maisha na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California mtaa wa Eastleig jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi Benson Kibue amesema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha milipuko katika migahawa miwili midogo. Mlipuko wa tatu ulitokea katika kituo cha mabasi ya uchukuzi kilichopo karibu na zahanati ya mama na mtoto. Miongoni mwa waliojeruhiwa walikuwa...

Monday, 31 March 2014

Haya ndiyo mauzo ya wimbo wa 2030 wa Roma Mkatoliki kupitia Whatsapp.

Inawezekana kama mitandao ya kijamii ukiitumia vizuri inaweza kukupatia faida kubwa kuna watu kadhaa ambao kupitia mitandao ya kijamii wanendesha maisha yao vizuri miongoni mwao kuna jamaa mmoja anajiita dalali Mkombozi  aliwahi ku-amplify anavyoitumia Instagram kuendesha maisha yake. Roma Mkatoliki leo ametoa idadi ya pesa alizowahi kuingiza kupitia wimbo wake wa 2030 ambao alianza kwa kuuza kupitia mtandao wa Whatsapp >>’2030...

Sunday, 30 March 2014

cheki video mpya ya juma nature, prof jay na jay mo ndani ya gandwa na vifaru vya JWTZ.

...

Cheki video ya jinsi MSAGA SUMU alivyopagawisha ndani ya Dar Live .

Kwenye hii video utamuona mkali wa vigodoro anaitwa Msagasumu akiwapagawisha mashabiki wake ndani ya Dar Live ambapo kulifanyika uzinduzi wa movie ya Kigodoro. Kitu kingine ni pale Wema Sepetu alipoimba verse ya Diamond kwenye wimbo wa Letadutigite akiwa na Linex. Shilole kahusika pia kwenye hii video bila kuiacha sehemu ambayo Wema alipoamua kuvua pete zote baada ya kupoteza pete moja akiwasalimia mashabiki wake...

Lukas Podolski ni mchezaji wa Arsenal, tazama alichopost kuhusu Tanzania. @Podolski10

Haijajulikana Podolski alipataje hizi picha ila huyu hapa chini ni Mtanzania alievaa jezi ya staa huyu wa Arsenal ambapo hiki kitendo kimemfanya Podolski kumsifia huyu shabiki kwamba jezi imemtoa freshi na kuitakia kila la kheri Tanzania. Hiyo hapo juu ni kwenye instagram ambapo picha hiihii pia aliipeleka kwenye page yake ya twitter kama inavyoonekana hapa chini   source: millardayo....

Hii hapa video ya Amini November – December

Picha za behind the scene zilianza kusambaa siku chache zilizopita ambazo zilikua na uhalisia wa hii video itakavyokua,imefanywa na Raymond Kasoga Amini ali-amplify kuwa video hii nayo imefanyika nje kidogo ya jiji la Dar. Bonyeza play kuitazama. ...

Friday, 28 March 2014

Picha ya siku ya kwanza Diamond Platnumz anakutana na Wema Sepetu ipo hapa

Inaaminika katika mapenzi au uhusiano wa kimapenzi uliowahi kuandikwa sana kwenye mitandao na magazeti Tanzania, huu wa mwigizaji Wema Sepetu na Diamond Platnumz umevunja rekodi, mastaa ambao walifikia mpaka kuvalishana pete ya uchumba. Pamoja na yote waliyopitia bado kalamu za Waandishi mbalimbali zilihusika kuwaandika. Ommy Dimpoz ambae ni rafiki wa Diamond kitambo hata kabla hatawa staa (Ommy) ameshea hii picha inayowaonyesha Wema na...

PENZI LA MR BLUE LAENDELEA KUMTESA NAJ

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya ambaye huwa anaishi na kufanya Kazi nchini Uingereza Naj amefunguka kuwa Tangu aachane Mr Blue zaidi ya Mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyopita hajawahi kukutana na Mwanaume na wala hajawahi kumpenda mwanaume yeyote, Naj amefunguka hivi karibuni kabla hajaelekea U.K akaendelea kunitiririkia kuwa alikua na Mr Blue kwa miaka mitano na ikaishia kwa yeye kukimbiwa na Blue akamkana hadharani na kuanzisha...

Namna timu ya Ndanda FC ilivyopokelewa Mtwara Jioni ya leo March 28.

Timu ya Ndanda Fc kutoka Mtwara imekuwa timu ya pili kukata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya Jumatatu ya March 24 kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Dar mechi iliyochezwa  Uwanja wa Karume 88.5 Dar es Salaam. Ndanda imepata nafasi hiyo baada ya kuongoza Kundi A la Ligi Daraja la Kwanza ikiwa na pointi 28 na kufuatiwa na African Lyon yenye pointi 27 na Jumatatu March 24 Lyon ilitoka sare ya bao 1-1 na...

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...