Friday, 2 August 2013

Wema Sepetu ajaza umati wa watu mahakamani, ni katika kesi yake inayomkabili



Habari hiyo inasema Katika mahakama hiyo watu walifurika kwa lengo la kutaka kumuona Wema aliyepandishwa mbele ya Hakimu, Bernice Ikanda kusomewa mashtaka ya kudaiwa kufanya vurugu, kushambulia kwa kumpiga makofi na kumtukana Goodluck.
Wema aliyekuja mahakamani hapo na msafara wa wafanyakazi na wapambe wake wakiwa na gari tatu tofauti aina ya Audi Q 7, Toyota Opa na Toyota Hiace yaliyokuwa yamejaza wapambe wake.
Kesi hiyo imehairishwa tena mpaka agosti ishirini mwaka huu  baada ya upande wa mashitaka kutakiwa kuleta mashahidi wengine Zaidi


0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...